Friday, September 6, 2013

WAJUE MASTAA 10 WANAOLIPWA MSHIKO MREFU HOLLYWOOD

Kwa mujibu wa Jarida na kampuni inayojishugulika na maswala
ya utafiti wa kuangalia maendeleo
na vipato vya wasanii,waigizaji na watu maarufu dunia,FORBES,hii ndio list
ya wacheza filamu nchini Marekani toka Hollywood
wanaoongoza kuwa na mshiko
mrefu zaidi Duniani.......

NIMEKUPANGIA LIST HII KWA MAJINA NA PESA WANAZOINGIZA:

1:Robert Downey Jr-IRON MAN (75 million$)

2:Channing Tattun-MAGIC MIKE,WHITE HOUSE DOWN(60 million$)

3:Hugh Jackmann-LES MISARABLE,XMAN(55 million$)

4:Mark Walhberg-TED(52 million$)

5:Dwayne 'The Rock' Johnson-Fast & Furious(42 million$)

6:Leonardo DiCaprio-Great Gatsby(39 million$)

7:Adam Sandler-Hotel Transylvania(37 million$)

8:Tom Cruise-Jack Reacher(35 million$)

9:Denzel Washington-Flight(33 million$)

10:Liam Neeson-Taken 2,The Grey(32 million$)


ELIZABETH CHIJUBA , KELVIN WAJA NA FILAMU YA DANGEROUS FATHER.

  Elizabeth Chijuba
Muigizaji Elizabeth Chijuba ambaye alitamba na filamu kadhaa huko nyuma akiwa na marehemu Steven Kanumba amekuja tena na filamu mpya ya Dangerous Father akiwa na Kelvin. Muigizaji huyo ambaye pia anajulikana kwa jina la Nikita ametamba pia na filamu za C.I.D, The Stolen Will na  nyinginezo.

Friday, August 9, 2013

SIHITAJI MUME,MUME WANGU NI KAZI",NISHA...



MREMBO anayekuja juu katika uaandaaji wa filamu Bongo Salma Jabu ‘Nisha’ ametoa mpya pale alipotangaza kuwa hana mahusiano na mwanaume yoyote na kuonyesha pete yake aliyodai ndio mumewe akiongea na mwandishi aliyetaka kujua kuhusu maisha yake ya mahusiano na kumtaka msanii atumie fursa hiyo kumtambulisha mpenzi huyo ambaye anaye na kusema hana mwanaume.

“Unaiona pete hii kwa wengine ni ishara ya pingu au ndoa na mimi pete hii inasimama kama alama ya mume wangu lakini mume wangu mimi ni kazi yangu ya filamu na si kingine naipenda sana kazi yangu na kuona au kuhisi pengine kama nikiwa na mume anaweza kunizuia nisifanye kazi ambayo ndio hobby yangu,”anadai Nisha.
Nisha ni mwigizaji ambaye amekuwa akifanya vizuri katika utayarishaji wa filamu za vichekesho huku mara nyingi akimshirikisha mchekesha mkongwe nchini King Majuto Komedi alizoandaa Nisha na kutikisa ni Pusi na Paku, Tikisa na filamu ya Macho yangu, pia siku za nyuma iliwahi kuripotiwa kuwa msanii huyo kuwa na mahusiano msanii wa hip hop Ney wa Mitego kitu anachokipinga Nisha.

WASTARA ATOA SIRI ZA SHIJA KUMTAKA ILA AKAZIDIWA KETE...

Mwanadada Wastara ametoa siri ambayo alikuwa hajawahi kuizungumza katika maisha yake ya uhusiano, kisa hicho kinachofurahisha kinahusu maisha yake na marehemu mume wake na sababu iliyomfanya afunge naye ndoa.

"Unajua Shija domo lake lilikuwa zege kumbe alikuwa ananitaka lakini akashindwa kuongea hadi mwenzake Sajuki (marehemu mumewe) alipotuma maombi na kusikilizwa, Baada ya Sajuki kukamilisha kila kitu na kuwa mke na mume ndiyo aliponitonya  kuhusu habari ya Shija kuwa wakati wananifuata kumbe alikuwa ananitaka ila marehemu Sajuki akawa mjanja." alisema Wastara
Shija mweneyewe anasema kuwa wakati huo alipokuwa anamtaka Wastara yeye alikuwa makini na kazi hasa utayarishaji wa filamu na suala la mapenzi lilikuwa la ziada.

Thursday, August 1, 2013

CHUMBA ALICHOPELEKWA ROSE NDAUKA CHAKUTWA NA KONDOMU TANO ZILIZOTUMIKA


Chumba cha hoteli ambacho Rose Ndauka  alinaswa  akiingia  na  dogo  Nasry  ambaye  ni  msanii  wa  bongo  fleva, kimekutwa  na  kondomu  tano  zilizotumia...

Rose  Ndauka  ambaye  ni  mchumba  wa  Malik  Bandawe,wiki  iliyopita  alinaswa  akiingizwa  katika  chuba  hicho na  msanii Nassoro Ayoub  "Nasry".

Kwa  msaada  wa  wafanya  usafi  wa  hoteli  hiyo  iliyoko  maeneo  ya  kinondoni  jijini  Dar,wawili  hao  waliingia  katika  chumba  namba G17  cha  hoteli  hiyo  na  kutumia  masaa  takribani  matatu  huku  chumba  kikiwa  kimefungwa  na  walipotoka  chumba kilikuwa  hoi  bin  taaban....

"Mimi  ndiye  niliyefanya  usafi  chumba  namba  G17  siku  hiyo  na  nilikuta  kondomu tano  zilizotumika  huku  shuka  zikiwa  zimevurugika  kabisa."..Alifunguka  mfanya  usafi  huyo

Tukio  la  binti  huyu  kunaswa  akiingizwa  hotelini  na  dogo  Nasry  linatia  shaka  uchumba  wake  na  Malik Bandawe  ambaye  kwa  kipindi  kirefu  wamekuwa  wakitangaza  mipango  yao  ya  kufunga  ndoa

UWOYA NAKUJA KUWASHIKA, TV SHOW YANGU NI NOMA

uwoyair
Msanii bongomovie Irene Uwoya anakuja kwenye TV yako kwa njia nyingine tofauti na ya kiubunifu zaidi. Duniani kuna mastaa kadhaa ambao wanafanya reality show zao, lakini Irene Uwoya kupitia ukurasa wake wa Instagram ametoa news kwamba anaanzisha show yake binafsi kupitia kituo cha Clouds TV ambayo ni tofauti kabisa na show za mastaa wengine.
uwoya
  Undani kuhusu show hiyo ni kwamba kila kitu humo ndani kitahusu mambo ya nyumba. Irene na crew yake watakuwa na kazi ya kutembelea nyumba zenye hali mbaya na kuzifanyia ukarabati ili kuboresha hali ya mazingira ya kuishi ya muhusika mwenye nyumba au chumba. So, show yake itakuwa inaonyesha mwanzo nyumba ikiwa kwenye hali mbaya hadi atakapo ikamilisha na huo ukarabati. Hii picha inamuonyesha akiwa setting ku-shoot sehemu ya show hiyo.

Wednesday, July 31, 2013

WILLIAM MTITU ANUNUA VIFAA VYA KISASA VYA FILAMU DUBAI(PHOTOS).

Msanii huyo maarufu nchini aliandika "Baada ya kufanikiwa kununua camera mpya kabisa ambayo inaweza kushuti quality ya 4K hapa twa-test pamoja na mtaalam wa kampuni ya Sony anaitwa Mohamed kutoka ofisi kuu Dubai hapa tukishuti mitaa/establish mbalimbali katika jiji la dubai "

Tuesday, July 30, 2013

Citizen TV’s BAHA (of Machachari) lands HOLLYWOOD role

Citizen TV’s BAHA (of Machachari) lands HOLLYWOOD role
























Citizen TV’s actor Kamau Mbaya, the son to the late Beth Mbaya a.k.a. Wanade of the Mother in Law fame has landed a potential deal to act in a Hollywood made movie.
According to sources, the star who features in the famed Machachari drama, has been approached by an American producer to act in an upcoming movie which will be going down in December

Saturday, July 27, 2013

TAZAMA PICHA ZA MOVIE STAR KAJALA AKIWA SOUTH AFRICA

 
Juzi mwigizaji wa bongo movie Kajala aliondokoka nchini kuelekea Afrika ya kusini kwa ajili ya safari binasfi ambayo pamoja na mambo mengine alitembelea shue ya uigizaji ya AFDA (AFDA the South African School of Motion Picture Medium and Live Performance) iliyopo nchini humo.



TAZAMA PICHA JINSI FILAMU YA BAD LUCK TOKA RJ COMPANY ILIVYOKUWA IKIANDALIWA NA JINSI MASTAR MBALI MBALI WALIVYOTEMBELEA LOCATION

BAD LUCK COMING SOON

Ile Sinema iliomshirikisha miss Tanzania mwaka jana Salha Israel, Muda si mrefu itaingia mtaani kwa kishindo inayokwenda kwa jina la BAD LUCK Wadau mzigo huu si wa kuukosa kama kawaida ya RJ Company uwa hawabahatishi kwenye kazi.

Staff wa RJ COMPANY wakiwa kwenye pozi kabla kazi kuanza..


   Maandalizi yakianza hapa steve shoo akiweka vitu sawa kwa ajili ya kuupika mzigo wa BAD LUCK ambayo kwa sasa ushakamilika kwa kuingia sokoni.

Baba Haji na Johari on set hatari sana mzigo huu wadau..

Lisa pia alikuwepo maarufu kwa jina la Batuli naye yuko ndani ya mzigo wa BAD LUCK.

 Director Adam Kuambiana.

  filamu hii imeongozwa na adam kuambiana hivyo na ray nae ambae ndio bosi wa kazi hii alipita kuwaangalia vijana wake wakifanya kazi kipindi hicho.....

   Batuli bila kukosa ndani ya nyumba ni hatari sana..



 Miss akifanya mambo yake kwenye Bad Luck.

  Batuli na Johari wakiwa On Set..

  Kazi ni ngumu sana Location. Wakati mwingine kunakuwa na kazi ngumu sana maana sio kazi ndogo kabisa tuwatieni moyo   msiwavunje moyo mapambano bado yanaendelea..

Uwoya alipita location kuangalia jinsi RJ COMPANY wanavyofanya kazi.

 Vijana kazini....

Esha Buheti on Set...