MOVIE STARS
Friday, September 6, 2013
ELIZABETH CHIJUBA , KELVIN WAJA NA FILAMU YA DANGEROUS FATHER.
Friday, August 9, 2013
SIHITAJI MUME,MUME WANGU NI KAZI",NISHA...
MREMBO anayekuja juu katika uaandaaji wa filamu Bongo Salma Jabu ‘Nisha’ ametoa mpya pale alipotangaza kuwa hana mahusiano na mwanaume yoyote na kuonyesha pete yake aliyodai ndio mumewe akiongea na mwandishi aliyetaka kujua kuhusu maisha yake ya mahusiano na kumtaka msanii atumie fursa hiyo kumtambulisha mpenzi huyo ambaye anaye na kusema hana mwanaume.
“Unaiona pete hii kwa wengine ni ishara ya pingu au ndoa na mimi pete hii inasimama kama alama ya mume wangu lakini mume wangu mimi ni kazi yangu ya filamu na si kingine naipenda sana kazi yangu na kuona au kuhisi pengine kama nikiwa na mume anaweza kunizuia nisifanye kazi ambayo ndio hobby yangu,”anadai Nisha.
Nisha ni mwigizaji ambaye amekuwa akifanya vizuri katika utayarishaji wa filamu za vichekesho huku mara nyingi akimshirikisha mchekesha mkongwe nchini King Majuto Komedi alizoandaa Nisha na kutikisa ni Pusi na Paku, Tikisa na filamu ya Macho yangu, pia siku za nyuma iliwahi kuripotiwa kuwa msanii huyo kuwa na mahusiano msanii wa hip hop Ney wa Mitego kitu anachokipinga Nisha.


WASTARA ATOA SIRI ZA SHIJA KUMTAKA ILA AKAZIDIWA KETE...
"Unajua Shija domo lake lilikuwa zege kumbe alikuwa ananitaka lakini akashindwa kuongea hadi mwenzake Sajuki (marehemu mumewe) alipotuma maombi na kusikilizwa, Baada ya Sajuki kukamilisha kila kitu na kuwa mke na mume ndiyo aliponitonya kuhusu habari ya Shija kuwa wakati wananifuata kumbe alikuwa ananitaka ila marehemu Sajuki akawa mjanja." alisema Wastara

Thursday, August 1, 2013
CHUMBA ALICHOPELEKWA ROSE NDAUKA CHAKUTWA NA KONDOMU TANO ZILIZOTUMIKA
Chumba
cha hoteli ambacho Rose Ndauka alinaswa akiingia na dogo Nasry
ambaye ni msanii wa bongo fleva, kimekutwa na kondomu tano
zilizotumia...
Rose Ndauka ambaye ni mchumba wa Malik Bandawe,wiki iliyopita alinaswa akiingizwa katika chuba hicho na msanii Nassoro Ayoub "Nasry".
Kwa msaada wa wafanya usafi wa hoteli hiyo iliyoko maeneo ya kinondoni jijini Dar,wawili hao waliingia katika chumba namba G17 cha hoteli hiyo na kutumia masaa takribani matatu huku chumba kikiwa kimefungwa na walipotoka chumba kilikuwa hoi bin taaban....
"Mimi ndiye niliyefanya usafi chumba namba G17 siku hiyo na nilikuta kondomu tano zilizotumika huku shuka zikiwa zimevurugika kabisa."..Alifunguka mfanya usafi huyo
Tukio la binti huyu kunaswa akiingizwa hotelini na dogo Nasry linatia shaka uchumba wake na Malik Bandawe ambaye kwa kipindi kirefu wamekuwa wakitangaza mipango yao ya kufunga ndoa
Rose Ndauka ambaye ni mchumba wa Malik Bandawe,wiki iliyopita alinaswa akiingizwa katika chuba hicho na msanii Nassoro Ayoub "Nasry".
Kwa msaada wa wafanya usafi wa hoteli hiyo iliyoko maeneo ya kinondoni jijini Dar,wawili hao waliingia katika chumba namba G17 cha hoteli hiyo na kutumia masaa takribani matatu huku chumba kikiwa kimefungwa na walipotoka chumba kilikuwa hoi bin taaban....
"Mimi ndiye niliyefanya usafi chumba namba G17 siku hiyo na nilikuta kondomu tano zilizotumika huku shuka zikiwa zimevurugika kabisa."..Alifunguka mfanya usafi huyo
Tukio la binti huyu kunaswa akiingizwa hotelini na dogo Nasry linatia shaka uchumba wake na Malik Bandawe ambaye kwa kipindi kirefu wamekuwa wakitangaza mipango yao ya kufunga ndoa
UWOYA NAKUJA KUWASHIKA, TV SHOW YANGU NI NOMA
Undani kuhusu show hiyo ni kwamba kila kitu humo ndani kitahusu mambo ya nyumba. Irene na crew yake watakuwa na kazi ya kutembelea nyumba zenye hali mbaya na kuzifanyia ukarabati ili kuboresha hali ya mazingira ya kuishi ya muhusika mwenye nyumba au chumba. So, show yake itakuwa inaonyesha mwanzo nyumba ikiwa kwenye hali mbaya hadi atakapo ikamilisha na huo ukarabati. Hii picha inamuonyesha akiwa setting ku-shoot sehemu ya show hiyo.
Wednesday, July 31, 2013
WILLIAM MTITU ANUNUA VIFAA VYA KISASA VYA FILAMU DUBAI(PHOTOS).
![]() |
![]() |

Tuesday, July 30, 2013
Citizen TV’s BAHA (of Machachari) lands HOLLYWOOD role
Citizen TV’s actor Kamau Mbaya, the son to the late Beth Mbaya a.k.a. Wanade of the Mother in Law fame has landed a potential deal to act in a Hollywood made movie.
According to sources, the star who features in the famed Machachari drama, has been approached by an American producer to act in an upcoming movie which will be going down in December
Citizen TV’s actor Kamau Mbaya, the son to the late Beth Mbaya a.k.a. Wanade of the Mother in Law fame has landed a potential deal to act in a Hollywood made movie.
According to sources, the star who features in the famed Machachari drama, has been approached by an American producer to act in an upcoming movie which will be going down in December
Saturday, July 27, 2013
TAZAMA PICHA ZA MOVIE STAR KAJALA AKIWA SOUTH AFRICA
TAZAMA PICHA JINSI FILAMU YA BAD LUCK TOKA RJ COMPANY ILIVYOKUWA IKIANDALIWA NA JINSI MASTAR MBALI MBALI WALIVYOTEMBELEA LOCATION
BAD LUCK COMING SOON

Ile Sinema iliomshirikisha miss Tanzania mwaka jana Salha Israel, Muda si mrefu itaingia mtaani kwa kishindo inayokwenda kwa jina la BAD LUCK Wadau mzigo huu si wa kuukosa kama kawaida ya RJ Company uwa hawabahatishi kwenye kazi.
Staff wa RJ COMPANY wakiwa kwenye pozi kabla kazi kuanza..
Maandalizi yakianza hapa steve shoo akiweka vitu sawa kwa ajili ya kuupika mzigo wa BAD LUCK ambayo kwa sasa ushakamilika kwa kuingia sokoni.
Baba Haji na Johari on set hatari sana mzigo huu wadau..
Lisa pia alikuwepo maarufu kwa jina la Batuli naye yuko ndani ya mzigo wa BAD LUCK.
Director Adam Kuambiana.
filamu hii imeongozwa na adam kuambiana hivyo na ray nae ambae ndio bosi wa kazi hii alipita kuwaangalia vijana wake wakifanya kazi kipindi hicho.....
Batuli bila kukosa ndani ya nyumba ni hatari sana..
Miss akifanya mambo yake kwenye Bad Luck.
Batuli na Johari wakiwa On Set..
Kazi
ni ngumu sana Location. Wakati mwingine kunakuwa na kazi ngumu sana
maana sio kazi ndogo kabisa tuwatieni moyo msiwavunje moyo mapambano
bado yanaendelea..
Uwoya alipita location kuangalia jinsi RJ COMPANY wanavyofanya kazi.
Vijana kazini....
Esha Buheti on Set...
Subscribe to:
Posts (Atom)







