Friday, September 6, 2013

WAJUE MASTAA 10 WANAOLIPWA MSHIKO MREFU HOLLYWOOD

Kwa mujibu wa Jarida na kampuni inayojishugulika na maswala
ya utafiti wa kuangalia maendeleo
na vipato vya wasanii,waigizaji na watu maarufu dunia,FORBES,hii ndio list
ya wacheza filamu nchini Marekani toka Hollywood
wanaoongoza kuwa na mshiko
mrefu zaidi Duniani.......

NIMEKUPANGIA LIST HII KWA MAJINA NA PESA WANAZOINGIZA:

1:Robert Downey Jr-IRON MAN (75 million$)

2:Channing Tattun-MAGIC MIKE,WHITE HOUSE DOWN(60 million$)

3:Hugh Jackmann-LES MISARABLE,XMAN(55 million$)

4:Mark Walhberg-TED(52 million$)

5:Dwayne 'The Rock' Johnson-Fast & Furious(42 million$)

6:Leonardo DiCaprio-Great Gatsby(39 million$)

7:Adam Sandler-Hotel Transylvania(37 million$)

8:Tom Cruise-Jack Reacher(35 million$)

9:Denzel Washington-Flight(33 million$)

10:Liam Neeson-Taken 2,The Grey(32 million$)


ELIZABETH CHIJUBA , KELVIN WAJA NA FILAMU YA DANGEROUS FATHER.

  Elizabeth Chijuba
Muigizaji Elizabeth Chijuba ambaye alitamba na filamu kadhaa huko nyuma akiwa na marehemu Steven Kanumba amekuja tena na filamu mpya ya Dangerous Father akiwa na Kelvin. Muigizaji huyo ambaye pia anajulikana kwa jina la Nikita ametamba pia na filamu za C.I.D, The Stolen Will na  nyinginezo.